KINACHOENDELEA KISARAWE KATIKA KAMPENI YA KUCHANJA KICHAA CHA MBWA

kISARAWE DAY 2 3

 

kISARAWE DAY 2 3

Kampeni ya kutokomeza kichaa cha mbwa kwa uchanjaji iliyoanza tarehe 6 May 2021 wilayani kisarawe inaendelea kwa ufanisi mkubwa.

Timu za wataalamu zimetawanyika sehemu mbali mbali za wilaya hiyo ambapo mwamko wa wananchi ni mkubwa kushiriki zoezi hilo.

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Ms Jokate Mwegelo amekuwa bega kwa kweba na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kuhakikisha huduma zoezi hilo linaenda vyema.

Kabla ya kuzinduliwa kwa kampeni hiyo mnamo tarehe 6 May 2021, kulifanyika seminar maalumu kwa ajili ya kuwanoa wanafunzi wa Udaktari wa Mifugo na Udaktari wa Binadamu kutoka katika vyuo vya SUA na MUHAS mtawalia. Wanafunzi hao wapatao takribani 50 wanashiriki kikamilifu katika zoezi hilo chini ya uangalizi wa wataalamu kutoka katika vyuo hivyo viwili.

Tutakuwa tunawaletea hapa chini matukio mbalimbali yanayoendelea katika kampeni hiyo kwa njia ya picha

SIKU YA 4 – UCHANJAJI UNAENDELEA

kISARAWE dAY 4 1

KISARAWE DAY 4 2

Kuelimisha jamii

SIKU YA 3 – UCHANJAJI UNAENDELEA

kISARAWE DAY 3 1Ms Jokate Mwegelo (Mkuu wa Wilaya Kisarawe) akishiriki zoezi la uchanjaji

 

 

SIKU YA 2 – UZINDUZI

KISARAWE DAY 2 2

kISARAWE DAY 2 1

 

SIKU YA 1 – MAFUNZO

 KISARAWE DAY 1 1

kISARAWE DAY 1 2

Related Posts